Muimbaji wa Skelewu, Mnaigeria Davido ametua jijini Dar es Salaam akiwa na ulinzi mkali wa mabaunsa takriban wanne walioshiba. Akiwa na kofia, miwani nyeusi na kibegi mgongoni kama mtoto wa shule, Davido alitua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere saa tano usiku.
Davido akihojiwa na Clouds TV
Hitmaker huyo ni mmoja wa wasanii wa kimataifa watakaotumbuiza Jumamosi hii kwenye Serengeti Fiesta ya Dar es Salaam itakayofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club.
Davido akiwasili JANA
Davido na kibegi chake mgongoni

0 commentaires